This website uses cookies to personalize content and analyse traffic in order to offer you a better experience. Cookie policy
Chagua kipindi, lipia na anza kusoma kwa njia ya kidijitali
Explore a variety of fresh topics
Find the right course for you
Learn on your schedule
TSh10000TSh7000
TSh25000TSh20000
TSh20000TSh15000
TSh20000TSh15000
TSh25000
TSh20000TSh15000
TSh12000
TSh25000
TSh18000
TSh3000TSh2000
TSh7000TSh5000
TSh7000TSh5000
TSh8000TSh6000
TSh5000TSh3000
TSh20000TSh15000
TSh12000TSh10000
TSh10000
Free
TSh6000TSh5000
TSh2000
TSh30000TSh25000
TSh20000TSh15000
TSh12000TSh10000
TSh5000
TSh70000TSh50000
TSh15000TSh10000
TSh35000TSh25000
TSh15000TSh10000
TSh20000TSh10000
TSh25000TSh20000
TSh25000TSh20000
TSh25000TSh20000
TSh20000TSh15000
TSh15000TSh10000
TSh6000TSh5000
TSh20000TSh15000
TSh6000TSh5000
TSh9000TSh7000
TSh9000TSh7000
TSh3000TSh2000
TSh7000TSh5000
TSh7000TSh5000
TSh40000
TSh7000
TSh7000
TSh5000
TSh5000
TSh5000
TSh7000
TSh5000
TSh7000
TSh5000
TSh5000
TSh7000
TSh5000TSh4999
TSh7000
TSh9000
TSh7000
TSh7000
TSh7000
TSh3500TSh3000
TSh4500TSh4000
TSh4500TSh4000
TSh4500TSh4000
TSh5000TSh4500
TSh5000TSh4500
TSh3500TSh3000
TSh4000TSh3500
TSh2500TSh2000
TSh2500TSh2000
TSh1500TSh1000
TSh3500TSh3000
TSh1500TSh1000
TSh4500TSh4000
TSh4500TSh4000
TSh7000TSh5000
TSh3500TSh3000
TSh4000TSh3500
TSh3000TSh2500
TSh2500TSh2000
TSh2500TSh2000
TSh5000TSh4500
TSh2500TSh2000
TSh2500TSh2000
TSh2500TSh2000
TSh2000TSh1500
TSh4500TSh4000
TSh5000TSh4500
TSh3500TSh3000
TSh4500TSh4000
TSh7500TSh7000
TSh3500TSh3000
TSh2000
TSh7500TSh7000
TSh4000
TSh5500TSh5000
TSh4000
Free
TSh5000
TSh3500TSh3000
TSh3500TSh3000
Free
TSh3500TSh3000
TSh3500TSh3000
TSh3500TSh3000
TSh2500TSh2000
TSh3500TSh3000
TSh3500TSh3000
TSh2500TSh2000
Free
TSh4500TSh4000
TSh3500TSh3000
TSh3500TSh3000
TSh10000TSh8000
TSh10000TSh7000
TSh10000TSh8000
TSh5000TSh4000
TSh10000TSh8000
TSh5000TSh3000
TSh10000TSh8000
TSh4000
TSh10000TSh8000
TSh8000TSh5000
TSh5000TSh3000
TSh10000TSh8000
TSh15000TSh10000
TSh5000TSh4000
TSh5000TSh4000
TSh10000TSh8000
TSh6000TSh4000
TSh7000TSh5000
TSh5000TSh3000
TSh5000TSh4000
TSh30000TSh25000
TSh11000
TSh30000TSh25000
TSh10000TSh8000
TSh5000TSh4000
TSh5000TSh3000
TSh7000TSh5000
TSh6000TSh4000
TSh10000TSh8000
TSh5000TSh4000
TSh5000TSh4000
Created by - Eng Anold Mwinuka
Tazama matokeo ya form 2 necta moja kwa moja kupitia link hii hapa chini https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htmGusa hapa kutazama matokeo ya necta form 2
More detailsPublished - Sat, 07 Jan 2023
Created by - Dr. Mlelwa
Baraza la mitihani Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba yaani Primary school leaving examination (PSLE) mwaka 2022Bonyeza hapa ili uone matokeo hayoMatokeo ya darasa la saba 2022
More detailsPublished - Thu, 01 Dec 2022
Created by - Eng Anold Mwinuka
WAALIMU NA WAFANYAKAZI WOTE WA DR MLELWA TUNAPENDWA KUWATANGAZIA WANAFUNZI WOTE AMBAO WAMEMALIZA DARASA LA SABA MASOMO YA PRE FORM 1Kwa mwaka wa masomo 2023, wanafunzi wanatakiwa kujiunga na masomo ya sekondari ya form 1, hivyo sisi kama Dr mlelwa tuichukua hii dhamana ya kuwaandaa hawa wanafunzi ili kwenda kukabiliana na mazingira mapya lakini pia jinsi ya kuweza kusoma vizuri na kufaulu.Waalimu wetu wamejipanga na tuna uzoefu wa kufundisha tangu 2022, hivyo mwanao au wewe mwanafunzi ukisoma kupitia jukwaa hili utakuwa umeingia kwenye list ya wanafunzi bora Tz, wanafunzi wote tunao wafundisha hawajawai kufeli iwe form 4 au form 6.chagua sasa kusoma nasi kwa matokeo bora na uelewa sahihi.BONYEZA HAPA KUTEMBELEA WEBSITE YETU
More detailsPublished - Tue, 04 Oct 2022
Created by - Eng Anold Mwinuka
KUANGALIA MAJINA AU KUPATA PDF YA MAJINA BONYEZA LINK HII HAPA CHINIBONYEZA KUPATA PDF YA MAJINA .WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kesho inatarajia kutangaza majina ya wanafunzi 640 wanaostahili kupata ufadhili wa masomo kupitia Samia Scholarship baada ya kufanya vizuri masomo ya sayansi.Waziri wa wizara hiyo, Profesa Adolf Mkenda alisema Jumapili jijini Dodoma kuwa katika kupata ufadhili huo hakutakuwa na upendeleo au ushawishi.“Septemba 27, 2022 (kesho) tunafungua rasmi tangazo la wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kufanya mitihani kupitia Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) na kufaulu vizuri kwenye masomo ya sayansi ambao wanastahili kupewa Samia Scholarship, baada ya hapo majina yao yatatangazwa.” alisema Profesa Mkenda wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu kufungua tangazo la Samia Scholarship.Aliongeza “Kwa wanafunzi ambao wamefanya vizuri sana katika masomo ya sayansi ambao wanastahili kupewa Samia Scholarship tunayo majina 640, tutangaza.”Profesa Mkenda alisema moja ya kigezo cha kupata ufadhili ni mwanafunzi kudahiliwa kwenye vyuo vikuu vya ndani ya nchi kusoma masomo ya sayansi, uhandisi na elimu tiba.Alisema kwa mwanafunzi ambaye atadahiliwa kwenye masomo ambayo si ya sayansi hawatanufaika na ufadhili huo hata kama jina lipo kwenye orodha ya walio na sifa ya kupata.“Unaweza ukawa umefaulu masomo ya sayansi na ukawemo kwenye orodha tutakayoitangaza lakini umeenda kwenda kusoma nje ya nchi kwa mtu anakusomesha basi utakosa fursa hii”alisema profesa Mkenda na kuongeza;“Pia unaweza jina lako likawepo na umedahiliwa katika chuo kikuu hapa Tanzania nje ya masomo ya sayansi, uhandisi na elimu tiba utakosa fursa hiyo”Aliongeza “Kikubwa mwanafunzi awe umefaulu masomo ya sayansi, hakuna lobbying matokeo ya nani kafauli vizuri yako wazi na kila mtu anaweza kuona, kwa hiyo hakuna cha kusema mtoto wa Mkenda au Silvia, hapana ulichofaulu ndio kitakufanya uchaguliwe.”Profesa Mkenda alisema Wizara imetanga Sh bilioni tatu ambazo zinaweza kuwatosha wanafuzi 640 kwa mwaka wa kwanza.“Tutakapoingia mwaka wa pili inaweza kuwa shilingi bilioni sita na zitaendelea kuongezeka kulingana na uhitaji, hapa tutazindua tangazo lakini uzinduzi wa hii scholarship yenyewe tumemuomba Rais akutane na hao watakaokuwa wamekamilisha vigezo vyote.”alisema.
More detailsPublished - Wed, 28 Sep 2022
- Eng Anold Mwinuka
Write a public review